MAPENZI BANA UNAAMBIWA WEMA SEPETU NA BABA HALAFU DIAMOND NA MAMA


Tattoo ya Diamond Platinum ikionekana kwenye mkono wake wa kushoto.
Tofauti na mastaa wengine ambao huandika majina ya wapenzi wao kwenye miili yao kuonesha jinsi wanalivyo na mapenzi nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Wema Sepetu wamekuwa tofauti, Ijumaa limegundua.
Mastaa hawa wameonyesha kuwa na mapenzi na wazazi wao ambapo mwandishi wetu amebaini Diamond ameandika jina la mama yake mkononi huku Wema akiandika jina la baba yake mkononi pia.
Wote wamefanya hivyo kwenye mikono yao ya kushoto sambamba na uwepo wa tatoo nyingine ambapo Wema ameandika ‘Daddy Sepetu’ na Diamond akaandika Sandra…’
Tattoo ya Wema Sepetu ikionekana kwenye mkono wake wa kushoto.
Hata hivyo, baadhi ya mashabiki wao wamedai huenda penzi la mastaa hao si la kudumu ndiyo maana wamekwepa kuandikana ili isije ikawa shida pale watakapomwagana.

0 comments:

Copyright © 2013. MAPYATZBLOG - All Rights Reserved
Customized by: MAPYATZBLOG | Powered by: http://bongoswagzs.blogspot.com/
Designed by: http://bongoswagzs.blogspot.com//