MWAKYEMBE AFUKUZA KAZI WATUMISHI 6 WA TRL
Waziri
wa Uchukuzi Dkt. Harrison Mwakyembe amewafukuza kazi wafanyakazi 6 wa
Shirika la Reli (TRL ) kwa makosa ya wizi wa fedha za umma pamoja na
udanganyifu katika uuzaji wa tiketi za abiria na ameamuru wakamatwe na
kufunguliwa mashitaka ya makosa ya jinai.
0 comments: