MWANAUME MWENYE ‘HIPS’ NA SHEPU LA KIDADA...HATAREE...!!!!

Kijana Micah ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye miaka 20 kutoka Chicago, Marekani, amechukua nafasi katika mitandao mbalimbali ya kijamii kutokana na umbo lake kuwashangaza wengi.










Kijana huyo akiwa katika mapozi mbalimbali.

MICAH ni mwanaume lakini ana hips kama au zaidi ya mwanamke baadhi ya wadada huzitamani kiasi cha kuamua kuzitafuta kwa daktari.

Kijana huyo ambaye ni msanii wa R&B anayechipukia mwenye miaka 20 kutoka Chicago, Marekani, amechukua headlines kutokana na umbo lake kuwashangaza wengi.

Hivi ni vipimo vya mwili wake:
Kifua: 41.5″ Kiuno: 37″ butt/hips: 63″

0 comments:

Copyright © 2013. MAPYATZBLOG - All Rights Reserved
Customized by: MAPYATZBLOG | Powered by: http://bongoswagzs.blogspot.com/
Designed by: http://bongoswagzs.blogspot.com//