DIAMOND LAWAMANI MOMBASA, ADAIWA KUWAFUKUZA NYOTA NDOGO NA WASANII WENGINE KWENYE VIP LOUNGE


 Mashabiki wa kike wa Mombasa wakimsonga Diamond kwenye show yake mjini humo weekend iliyopita
Kunyanyashwa kwa wasanii wa Kenya, kumemfanya Diamond na waandaji wa show yake ya Mombasa weekend iliyopita kutupiwa lawama na wapenzi wa muziki nchini humo.
Mtandao wa Standard Media wa Kenya, umeandika kuwa kwenye show hiyo iliyohudhuriwa na watu kibao, Diamond alitaka wasanii wengine wote waliokuwa watumbuize kwenye show hiyo na waliokuwa wamepangiwa kukaa naye kwenye VIP lounge, wakiwemo Susumila na Nyota Ndogo waondelewe.SOMA ZAIDI>>>

0 comments:

Copyright © 2013. MAPYATZBLOG - All Rights Reserved
Customized by: MAPYATZBLOG | Powered by: http://bongoswagzs.blogspot.com/
Designed by: http://bongoswagzs.blogspot.com//